Kijana Jiongeze

Kijana Jiongeze Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kijana Jiongeze, Business Center, KIGOTO, Mwanza.

....ya kufa tu, au kupitia taratibu fulani tu. Hapana. Chanzo cha maisha yote kiko ndani yako sasa hivi.Hivyo '๐ค๐ฎ๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐š ๐ฐ...
02/06/2026

....ya kufa tu, au kupitia taratibu fulani tu. Hapana. Chanzo cha maisha yote kiko ndani yako sasa hivi.
Hivyo '๐ค๐ฎ๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐š ๐ฐ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐ข ๐ง๐š๐ง๐ข' si maneno ya faraja tu, ni amri ya kiroho. Ni mwito wa kurudi nyumbani ndani mwako mwenyewe, na hapo utakutana na Baba.

Na unapokumbuka wewe ni nani, unapoiona taswira ya Baba yako (Mungu) ndani yako hautakuwa mnyonge, wala mwoga, k**a ilivyokuwa kwa Simba, unarudi kwa ujasiri na kusimama katika nafasi yako. Yesu alisema โ€œNinyi ni nuru ya ulimwenguโ€ โ€” si โ€œmtakuwa nuruโ€ au โ€œmnapaswa kuwa nuruโ€ โ€” bali ninyi ni nuru. Tayari.

๐’๐ฐ๐š๐ฅ๐ข ๐ฅ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐Ÿ๐š๐ค๐š๐ซ๐ข
Ni nini kinachokufanya usahau wewe ni nani mara kwa mara? Ni woga? Ni maumivu? Ni maoni ya watu? Ni dhambi au tabia fulani?
Kila mara unapohisi umepoteza mwelekeo, rudi kwenye โ€œbwawaโ€ โ€” mahali pa utulivu, na uangalie kwa umakini zaidi. Utamwona Yeye. Na utasikia sauti ile ile: โ€œ๐Š๐ฎ๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐š ๐ฐ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐ข ๐ง๐š๐ง๐ข.โ€

โ€œ๐Š๐ฎ๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐š ๐ฐ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐ข ๐ง๐š๐ง๐ข.โ€Kwenye moja ya series za filamu ya 'The Lion King', Simba anaonekana akiwa mnyonge, muoga anajifi...
02/06/2026

โ€œ๐Š๐ฎ๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐š ๐ฐ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐ข ๐ง๐š๐ง๐ข.โ€
Kwenye moja ya series za filamu ya 'The Lion King', Simba anaonekana akiwa mnyonge, muoga anajificha kichakani; anaonekana kupoteza muelekeo baada ya kufiwa na baba yake katika umri mdogo. Rafiki ambaye ni nabii(nyani), anamjia Simba na kumwambia aache kuhuzunika kwani baba yake hajafa yupo hai, Simba anastaajabu "inawezekanaje!" Rafiki anamwambia Simba "nifuate nikakuoneshe baba yako".

Rafiki anampeleka Simba kwenye bwawa na kumwambia Simba aangalie kwenye maji atamuona baba yake, Simba anaangalia lakini anachoona ni taswira yake tu, Rafiki anamwambia Simba "angalia kwa umakini zaidi". Simba anapoangalia kwa umakini zaidi anamuona baba yake, na anamsikia akimwambia "๐‘บ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’‚, ๐’Œ๐’–๐’Ž๐’ƒ๐’–๐’Œ๐’‚ ๐’˜๐’†๐’˜๐’† ๐’๐’Š ๐’๐’‚๐’๐’Š". Simba anapokumbuka yeye ni nani anarudi nyumbani siyo k**a Simba tu bali ni 'mfalme Simba'.

Rafiki alipomwambia Simba โ€œangalia kwa umakini zaidiโ€, huo ni ufunguo. Si kuangalia kwa haraka au kwa macho ya mwili tu, bali ni kuangalia kwa umakini wa roho.

Simba alipoona taswira ya baba yake ndani ya maji, hakumwona Mufasa k**a aliyekufa tu โ€” alijiona yeye mwenyewe akiwa ameendelea, akiwa na hekima, nguvu na utukufu wa baba yake. Hii inakumbusha sana mafundisho ya Yesu:

"๐‘ด๐’๐’Š๐’”๐’‚๐’…๐’Š๐’Œ๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐’Ž๐’Š๐’Ž๐’Š ๐’๐’Š ๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚ ๐‘ฉ๐’‚๐’ƒ๐’‚, ๐’๐’‚ ๐‘ฉ๐’‚๐’ƒ๐’‚ ๐’š๐’– ๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–...;(๐’€๐’๐’‰๐’‚๐’๐’‚ 14:11)

Na pia:

ย โ€œ๐‘พ๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’˜๐’† ๐’๐’‚ ๐’–๐’Ž๐’๐’‹๐’‚; ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’˜๐’†๐’˜๐’†, ๐‘ฉ๐’‚๐’ƒ๐’‚, ๐’–๐’๐’Š๐’—๐’š๐’ ๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–, ๐’๐’‚๐’Ž๐’Š ๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’Œ๐’; ๐’‰๐’‚๐’ ๐’๐’‚๐’ ๐’˜๐’‚๐’˜๐’† ๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’†๐’•๐’–; ๐’Š๐’๐’Š ๐’–๐’๐’Š๐’Ž๐’˜๐’†๐’๐’ˆ๐’– ๐’–๐’‘๐’‚๐’•๐’† ๐’Œ๐’–๐’”๐’‚๐’…๐’Š๐’Œ๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐’˜๐’†๐’˜๐’† ๐’๐’…๐’Š๐’˜๐’† ๐’–๐’๐’Š๐’š๐’†๐’๐’Š๐’•๐’–๐’Ž๐’‚".(๐’€๐’๐’‰๐’‚๐’๐’‚ 17:21)

Umoja huu ndio siri. Sio kwamba Mungu yuko mbali na sisi, na sisi tunajaribu kumfikia. Bali Yeye yuko ndani yetu, na sisi tuko ndani yake. Tunaposahau hili, tunaishi k**a Simba aliyekuwa kichakani โ€” tunaogopa, tunajiona dhaifu. Lakini tunapokumbuka, tunasimama k**a ๐Œ๐Ÿ๐š๐ฅ๐ฆ๐ž ๐’๐ข๐ฆ๐›๐š.

Yesu aliposema โ€œUfalme wa Mungu uko ndani yenuโ€ (Luka 17:21), alikuwa anavunja dhana ya wakati ule (na hata kwetu leo) kwamba Mungu na wokovu vinapatikana mahali maalum, au baada..

โ€œ๐Š๐ฎ๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐š ๐ฐ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐ข ๐ง๐š๐ง๐ข.โ€Kwenye moja ya series za filamu ya 'The Lion King', Simba anaonekana akiwa mnyonge, muoga anajifi...
02/06/2026

โ€œ๐Š๐ฎ๐ฆ๐›๐ฎ๐ค๐š ๐ฐ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐ข ๐ง๐š๐ง๐ข.โ€

Kwenye moja ya series za filamu ya 'The Lion King', Simba anaonekana akiwa mnyonge, muoga anajificha kichakani; anaonekana kupoteza muelekeo baada ya kufiwa na baba yake katika umri mdogo. Rafiki ambaye ni nabii(nyani), anamjia Simba na kumwambia aache kuhuzunika kwani baba yake hajafa yupo hai, Simba anastaajabu "inawezekanaje!" Rafiki anamwambia Simba "nifuate nikakuoneshe baba yako".

Rafiki anampeleka Simba kwenye bwawa na kumwambia Simba aangalie kwenye maji atamuona baba yake, Simba anaangalia lakini anachoona ni taswira yake tu, Rafiki anamwambia Simba "angalia kwa umakini zaidi". Simba anapoangalia kwa umakini zaidi anamuona baba yake, na anamsikia akimwambia "๐‘บ๐’Š๐’Ž๐’ƒ๐’‚, ๐’Œ๐’–๐’Ž๐’ƒ๐’–๐’Œ๐’‚ ๐’˜๐’†๐’˜๐’† ๐’๐’Š ๐’๐’‚๐’๐’Š". Simba anapokumbuka yeye ni nani anarudi nyumbani siyo k**a Simba tu bali ni 'mfalme Simba'.

Rafiki alipomwambia Simba โ€œangalia kwa umakini zaidiโ€, huo ni ufunguo. Si kuangalia kwa haraka au kwa macho ya mwili tu, bali ni kuangalia kwa umakini wa roho.
Simba alipoona taswira ya baba yake ndani ya maji, hakumwona Mufasa k**a aliyekufa tu โ€” alijiona yeye mwenyewe akiwa ameendelea, akiwa na hekima, nguvu na utukufu wa baba yake. Hii inakumbusha sana mafundisho ya Yesu:
"๐‘ด๐’๐’Š๐’”๐’‚๐’…๐’Š๐’Œ๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐’Ž๐’Š๐’Ž๐’Š ๐’๐’Š ๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚ ๐‘ฉ๐’‚๐’ƒ๐’‚, ๐’๐’‚ ๐‘ฉ๐’‚๐’ƒ๐’‚ ๐’š๐’– ๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–...;(๐’€๐’๐’‰๐’‚๐’๐’‚ 14:11)
Na pia:
โ€œ๐‘พ๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’˜๐’† ๐’๐’‚ ๐’–๐’Ž๐’๐’‹๐’‚; ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’˜๐’†๐’˜๐’†, ๐‘ฉ๐’‚๐’ƒ๐’‚, ๐’–๐’๐’Š๐’—๐’š๐’ ๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–, ๐’๐’‚๐’Ž๐’Š ๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’Œ๐’; ๐’‰๐’‚๐’ ๐’๐’‚๐’ ๐’˜๐’‚๐’˜๐’† ๐’๐’…๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’†๐’•๐’–; ๐’Š๐’๐’Š ๐’–๐’๐’Š๐’Ž๐’˜๐’†๐’๐’ˆ๐’– ๐’–๐’‘๐’‚๐’•๐’† ๐’Œ๐’–๐’”๐’‚๐’…๐’Š๐’Œ๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐’˜๐’†๐’˜๐’† ๐’๐’…๐’Š๐’˜๐’† ๐’–๐’๐’Š๐’š๐’†๐’๐’Š๐’•๐’–๐’Ž๐’‚".(๐’€๐’๐’‰๐’‚๐’๐’‚ 17:21)

26/05/2026

Address

KIGOTO
Mwanza

Telephone

+255 787 654 724

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kijana Jiongeze posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share