Kijana Jiongeze

Kijana Jiongeze Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kijana Jiongeze, Business Center, KIGOTO, Mwanza.

05/02/2026
Hakuna mtu anamuumiza mwenzake kutokana na upendo au hekima. Tunaumizana kutokana na uchungu unaotokana na majeraha ya m...
12/11/2025

Hakuna mtu anamuumiza mwenzake kutokana na upendo au hekima. Tunaumizana kutokana na uchungu unaotokana na majeraha ya moyoni yasiyoponywa.

Wakati wowote unapohisi huzuni kutokana na kuumizwa unakuwa unaitikia uchungu wa mtu aliyekuumiza. Kila mtu ni kioo cha mwingine, means tunareflectiana. Unapoumizwa kwa maneno au matendo yangu manaake umekuwa kioo changu, kuumia kwako kunanifanya nijione kwako na wewe kwangu.

Ukweli ni huo huo pale mtu anapomtendea mwenzake mambo mema, anafanya hivyo kutokana na upendo na hekima. Katika Fizikia, hali hii huitwa transfer of energy.

Kanuni ya Umoja wa Kiungu (The Law of Divine Oneness) inasema "Kila kitu kimeunganishwa na kila kitu kingine katika uwanja mmoja mkubwa. Sisi sote ni sehemu ya mfumo mmoja wa nishati(Mungu)". “Vitu vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote.” – Yohana 1:3. Hii inamaanisha unapomtendea ubaya mtu unajiyendea mwenyewe, na upomtendea mtu wema unajitendea mwenyewe, kwasababu sisi sote asili na kiini chetu ni kimoja -Mungu; Kiswahili kina msemo "kwendako wema hurudi wema"(inamaanisha kwendako ubaya hurudi ubaya), au "wema ni akiba, hauozi". Yesu anasema "Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa".
Mathayo 7:2.

Hii pia huitwa Karma "what goes around comes around".

Address

KIGOTO
Mwanza

Telephone

+255 787 654 724

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kijana Jiongeze posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share