DairyLink Tanzania

DairyLink Tanzania Dairy Link Tanzania is one of the leading general distributor in Tanzania. It is mainly focusing of food products distribution ie, Milk and its products.

milk collection and distribution, Agribusiness consultations, Food products distribution, Horticulture farming, Honey and its product supply, Vaccination and fumigation services.

"Hydroponics" ni utaratibu wa kuotesha mimea kwa kutuma Maji kidogo bila kuhusisha mchanga /udongo kabisa. Mimea inaotes...
05/12/2016

"Hydroponics" ni utaratibu wa kuotesha mimea kwa kutuma Maji kidogo bila kuhusisha mchanga /udongo kabisa. Mimea inaoteshwa katika chombo maalumu "Tray" ambacho ni kisafi na kina matundu chini ili kusaidiana Maji yasituame chini wakati wa umwagiliaji mimea.
Dairy Link Tanzania inatoa mafunzo na kufunga "hydroponics fodder" kwa wafugaji wa ng'ombe, mbuzi, kuku na sungura. hii itamsaidia mfugaji kupunguza gharama ya malisho ya mifugo yake kwa asilimia hamsini (50%) na kuongeza uzalishaji kwa asilia sabini (70%) kwani Hydroponics fodder humfanya mnyama kushiba vizuri pia kupata kiwango bora cha virutubisho vinavyohitajika ili kuongeza uzalishaji na ukuaji kwa matokeo mazuri kiafya. Pia eneo dogo la kufunga mfumo huu linakuwezesha kupata chakula cha kutosha mifugo yako.

Ukitaka kufungiwa mfumo huu tafadhali wasiliana nasi tukuhudumie kwa gharama nafuu.

Karibuni wote!
[email protected]

05/12/2016

Dairy Link Tanzania, the real stakeholder of milk producers, where you get advisory service, extension services, milk market, milk bars etc. Join us and meet the difference!

04/12/2016

Dairy Link Tanzania is one of the leading general distributor in Tanzania. It is mainly focusing of food products distribution ie, Milk and its products.

Dairy Link Tanzania kwa sasa ina Vituo vya kukusanyia maziwa toka kwa wafugaji na kusambaza kwa wateja katika mikoa ifua...
04/12/2016

Dairy Link Tanzania kwa sasa ina Vituo vya kukusanyia maziwa toka kwa wafugaji na kusambaza kwa wateja katika mikoa ifuatayo.

1. MBWEWE SMALL TOWN mkoani PWANI.
2. CHALINZE TOWN mkoani PWANI.
3. DAKAWA, MOROGORO
4. UBUNGO, DAR ES SALAAM.

Matarajio yetu ni kuongeza vituo vingi vya ukusanyaji na usambazaji wa maziwa ili kufikia mahitaji ya watanzania wengi zaidi. Nitoe rai kwa wafugaji wa ng'ombe wa maziwa walete maoni yao ya mahali patakapowafaa kufungua kituo cha ukusanyaji wa maziwa. Pia kwa wafanyabiashara wa maziwa kuweza kuifikia huduma hii kwa urahisi.


Dairy Link Tanzania iko kwenye harakati za kuongeza unywaji wa maziwa kwa watanzania, hivyo imeandaa programu maalumu kw...
04/12/2016

Dairy Link Tanzania iko kwenye harakati za kuongeza unywaji wa maziwa kwa watanzania, hivyo imeandaa programu maalumu kwa ajili ya wanafunzi na vijana. hii itakuwa ni programu maalumu kwa wanafunzi walioko mashuleni na vyuoni kwa kufungua vituo vya kusambazia maziwa ambayo yatapatikana kwa bei nafuu kwa kuwa tunategemea kutumia Teknolojia rahisi ambayo itapubuza gharama za uadaaji wa maziwa hadi kumfikia mlaji. Tutaweka Baa za Maziwa (Milk Bar), Dispenser na ATM za maziwa ambazo mtumiaji atakuwa na uwezo kujihudumia kiasi cha maziwa anachihitaji kwa kulipia kwenye mashine na kupata huduma hiyo.


Dairy Link Tanzania iko katika mchakato wa kuongeza vituo vya kukusanya maziwa toka kwa wafugaji! kwa sasa tuna vituo vy...
04/12/2016

Dairy Link Tanzania iko katika mchakato wa kuongeza vituo vya kukusanya maziwa toka kwa wafugaji! kwa sasa tuna vituo vya kukusanya maziwa katika mikoa ya Tanga, Pwani, na Morogoro. Pia kuna kituo cha mauzo ya maziwa fresh na mtindi katika Jiji la Dar es salaam. Tunakaribisha maoni yako wewe mdau wa bidhaa ya maziwa, mkulima au mfanyabiasha kutoa mapendekezo yako mahali unapoona panafaa kuweka kituo cha kukusanya au kusambaza maziwa fresh.Toa maoni yako!


Farmers Training
02/12/2016

Farmers Training

02/12/2016

Address

Kange, Kasera
Tanga
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DairyLink Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to DairyLink Tanzania:

Share