Gondwana Pearl

Gondwana Pearl We introduce the product that will explore the richness and kindness of the Gondwana sub continent.

KWA KANISA LA MUNGU KATIKA MIKOA YA DODOMA NA PWANI NINAWAALIKA;K**a kuna mtumishi ama kanisa katika maeneo haya limekus...
29/10/2024

KWA KANISA LA MUNGU KATIKA MIKOA YA DODOMA NA PWANI NINAWAALIKA;

K**a kuna mtumishi ama kanisa katika maeneo haya limekusudia KUPANDA KAZI MPYA kuanzia mwaka 2025 na linahiji CHURCH PLANTER tafadhari tuwasiliane.

Maeneo ambayo nipo tayari kusaidia kwenye upandaji wa kazi mpya ni Wilaya ya Bagamoyo kwa mkoa wa Pwani. Dodoma mjini na Mpwapwa kwa mkoa wa Dodoma.

Kwa utambuzi kuhusu mimi pamoja na maelezo mengine tafadhari tuwasiliane Inbox ama kupitia simu namba +255788292158,768105497 ama kwa barua pepe; [email protected],[email protected]. Lakini pia unaweza kupata taarifa kuhusu mimi kupitia website ya Christian leardership Institute (CLI).

Mungu awabariki sana.

22/10/2024

UNAAMKA ASUBUHI UNAJIANDAA KWENDA KUPIGA KURA YA KUMPATA MWENYEKITI WA KIJIJI HUKU UKIWA UMEZUNGUKWA NA WAPIGA KURA HEWA.

21/10/2024

BILA KATIBA MPYA CHAGUZI ZOTE HIZI MTAENDELEA KUSHIRIKI HUKU MKILALAMIKA.

HATIMAYE NIMEIPATA ACCOUNT YANGU ILIYOKUWA UTUMWANI KWA MIEZI KADHAA.
15/10/2024

HATIMAYE NIMEIPATA ACCOUNT YANGU ILIYOKUWA UTUMWANI KWA MIEZI KADHAA.

24/02/2024

SISI WENYE VIPARA TUNAPACOME WAPI JAMANI??

MADARAKA NYERERE; UNA UHAKIKA KWAMBA BABA YAKO ANAFANANA NA YULE WA ADISI YA BABA??
23/02/2024

MADARAKA NYERERE; UNA UHAKIKA KWAMBA BABA YAKO ANAFANANA NA YULE WA ADISI YA BABA??

MADARAKA NYERERE HEBU TUAMBIE UKWELI; KATI YA HUYU NA YULE BABA YAKO WA LAGOS YUPO ANAFANANA NA NYERERE??
23/02/2024

MADARAKA NYERERE HEBU TUAMBIE UKWELI; KATI YA HUYU NA YULE BABA YAKO WA LAGOS YUPO ANAFANANA NA NYERERE??

KATI YA SERIKALI NA TANESCO NANI NDIYE CHANZO CHA MGAWO WA UMEME??Siku chache zilizopita kulitoka tamko kwamba mgawo wa ...
22/02/2024

KATI YA SERIKALI NA TANESCO NANI NDIYE CHANZO CHA MGAWO WA UMEME??

Siku chache zilizopita kulitoka tamko kwamba mgawo wa umeme ambao sasa unamaliza mwaka tangu ulipoanza unaweza kuisha tarehe 16. Haikusemwa ni tarehe 16 ya mwezi ama mwaka gani na ndiyo maana siku chache baadaye mtu yule yule aliyetangaza mwisho wa mgawo kuwa ni tarehe 16 akaibuka na kujitetea kwamba HAKUTAJA TAREHE YA MWEZI GANI NA MWAKA GANI.

Kwa kuzingatia tamko tu hili la SERIKALI kuhusiana na tarehe ya kumalizika kwa mgawo mkali wa umeme tunalazimika kujikumbusha baadhi ya mambo ili tumfahamu MTAALAMU WA MGAWO WA UMEME ni nani kati ya Serikali na TANESCO yake.

Ukisoma Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015-2020 kwenye kipengele cha ahadi ambazo watahakikisha serikali yao inatekeleza endapo CCM itapata ridhaa ya kuunda hiyo serikali utaona kwamba WALIAHIDI KUONGEZA MEGAWATII 3607 ili kufikia kiwango cha uzalishaji wa umeme kinachofikia Megawati 4915 KUFIKIA MWAKA 2020. Katika Ilani ile ya uchaguzi waliainisha jinsi watakavyopata hizo Megawati 3607 za nyongeza.

Halafu WAKAPATA RIDHAA iwe kiharamu ama kihalali na ghafla WAKABADILI GEA ANGANI. Wakaamua KUVITUPILIA MBALI UTEKELEZAJI WA VYANZO WALIVYOAHIDI KWENYE ILANI YAO YA UCHAGUZI ambavyo vingi vilikuwa vikilenga kutumia GESI ASILIA kutoka Mtwara na Songosongo na badala yake WAKAINGIA KWENYE UHARIBIFU WA MAZINGIRA PALE RUFIJI.

Wakati wakianza uharibifu wa mazingira pale Rufiji wakaahidi kwamba kufikia mwezi September mwaka 2021 TAYARI WATAANZA KUZALISHA UMEME KWA KUTUMIA MAJI unaofikia Megawati 2100. SEPTEMBER IKAWA SEPTEMBER 2023 na sasa tupo mwezi February mwaka 2024,MTAMBO WALIOAMUA KUUPA JINA LA JULIUS NYERERE kutoka Stigler's Gorge HALIJATOA HATA ROBO MEGAWATI na tunachosikia mpaka wakati huu ni MARA BWAWA LIMESHAJAA MAJI,WANAMALIZIA MAJARIBIO YA HAPA NA PALE n.k

Ndipo TANESCO kwa kauli moja WAKAIBUKA NA TANGAZO LA MGAWO. Wale wa Tanga,Arusha na kwingineko hawakukutana nao sana isipokuwa sisi wa Kilimanjaro,Dar es salaam n.k NDIO TUMEKUTANA NAO SANA MPAKA SASA. Mwezi October 2023 Raisi wa JMT akaibuka na AMRI kwamba ANAWAPA TANESCO MIEZI SITA wahakikishe MGAWO WA UMEME UMEKWISHA. Kimsingi mwezi wa sita wa AGIZO LA RAISI umebakiza siku takriban TATU tu na kinachoonekana sasa ni MGAWO KUUMA ZAIDI.

Hapo nyuma sababu za MGAWO ZILISEMWA ni kutokana na vyanzo vinavyozalisha kwa maji kutokuwa na maji kutokana na UKAME. Baadaye baada ya mvua kunyesha mpaka kusoma kijiji kule HANANG TANESCO wakaibuka na hoja kwamba sasa MGAWO UNASABABISHWA NA MIUNDO MBINU YAO KUSOMBWA NA MAJI YA MAFURIKO.

Kwa hiyo,KIMSINGI sababu za MGAWO WA UMEME HAZIJULIKANI HASA NI NINI. Baadhi ya wadau WANAOZALISHA UMEME niliobahatika kuzungumza nao wanasema kwamba TANESCO ILIKATAA KUNUNUA UMEME KUTOKA KWAO MPAKA IKULU ILIPOINGILIA KATI ndipo wamekubali ingawa itachukua muda kwa wadau hawa kuweza kuanza kuuza umeme huo kwa TANESCO.

Kwa namna yoyote ile MGAWO WA UMEME hapa nchini si suala la BAHATI MBAYA bali ni MIPANGO MADHUBUTI YA WANAOTAKA KUMTAFUTIA MAMA SAMIA SIFA YA KUMALIZA MGAWO. Pengine ni mbinu ya kutafuta HURUMA kwa mwendazake JPM.

BADO TUNAISOMA NAMBARI.

PENGO LA NYERERE LIMEZIBWA NA NYEKWARU:Kule ADITHI YA BABA wameweka SANAMU la anayedhaniwa kuwa ndiye Mwalimu Julius Kam...
21/02/2024

PENGO LA NYERERE LIMEZIBWA NA NYEKWARU:

Kule ADITHI YA BABA wameweka SANAMU la anayedhaniwa kuwa ndiye Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,yule aliyekuwa Waziri mkuu wa kwanza wa Tanganyika huru na kisha KUIUZA Jamhuri hiyo kwa nchi iliyojulikana baadaye k**a Tanzania.

Mwendazake Julius Kambarage Nyerere Burito anakumbukwa kwa kuwa na ujuzi wa hali ya juu kwenye HOTUBA zake tamu tamu.

AU ama OAU k**a tulivyoifahamu zamani imeamua KUTENGENEZA sanamu inayomwakilisha JK Nyerere kwa kuchanganya sura yake na ya WANAMAPINDUZI WENZAKE Patrick Lumumba wa Congo na Kwame Nkuramah wa Ghana. Mchanganyiko wa sura hizi nimependa kuuitwa NYEKWARU yaani Nyerere,Kwame na Rumumba.

Kwa hiyo Watanganyika wenzangu msishangae utofauti wa sura kwenye sanamu hili kwa kuwa LIMEFANYIA MODIFICATION ili kuzihusisha sura za wanamapinduzi hawa wengine.

HONGERENI SANA WABUNIFU WA OAU/AU.

21/02/2024

AKIFUNGWA YEYE BAO TANO CHAMA ANASIMAMISHWA MPAKA MAZOEZI. WAKIFUNGWA WENZAKE TANO NI DHAIFU.

MIEZI KADHAA ILIYOPITA ULIKUWA UKI SEARCH GOOGLE NENO Quran tukufu ULILETEWA TARJUNA YA SHEIKH MUHSIN BARWAN. LEO HII UK...
15/02/2024

MIEZI KADHAA ILIYOPITA ULIKUWA UKI SEARCH GOOGLE NENO Quran tukufu ULILETEWA TARJUNA YA SHEIKH MUHSIN BARWAN. LEO HII UKIITAFUTA HIYO TARJUNA HUIPATI BALI UNAAMBIWA KUWA KUNA ERR 530. KWA NINI MUMEIONDOA AMA MNAI EDIT AMA MUMESHALETA MULIYO EDIT??

MWENYE DHAMBI BADALA YA KUUNGAMA DHAMBI ZAKE MBELE YA KANISA YEYE NDIYE ANAKUWA YESU WA KUWASAMEHE WATU DHAMBI ZAO. SAMB...
05/02/2024

MWENYE DHAMBI BADALA YA KUUNGAMA DHAMBI ZAKE MBELE YA KANISA YEYE NDIYE ANAKUWA YESU WA KUWASAMEHE WATU DHAMBI ZAO. SAMBAYA UNA VITUKO.

Address

Tanga
0255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gondwana Pearl posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Gondwana Pearl:

Share